cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Ndo nashangaa hapo kosa ni la mwanaume na sio kuchepuka tyuuuh had kuzaa, as if mkewe n tasa lol, acha aoneshwe matunda ya alichokuwa anakipanda.Mtaweza tu siunaona mleta mada kajaribu na nyie mna mpa ushauri mubovu sijui awe mubabe ngoja nguvu zianze kumuisha akifika umri wa utu uzima. Mtu kakosa wamdaganya awe mubabe sio?
Tena hapo n trailler, bado movie enyewe, mbona hakuna rangi ataacha kuona uwiiiiih.
Kila mtu ana moyo wa nyama. Huhuhuu
