Nimekamatwa kwa kukutwa nachezesha Playstation.

Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Hamna watu wana roho mbaya kama hao watu, we wape ela achana nao, africa hamnaga haki, ukijidia unasimamia haki, unaweza shangaa kesi inabadilika na utaambiwa umekutwa na misokoto ya bangi.

Waliofungwa jela sio wote wenye hatia.

Rushwa haiwezi kuisha daima.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Stupid!Unasababisha watoto waache kuzingatia masomo.Peleka hiyo Play Station kwa watoto wako ucheze nao.Kujiliza JF hakutosaidia.Marabook!
 
Acha ushamba zama zimebadilika.
Ngoja uuone moto wa serikali ndiyo utamjua nani ni mshamba na nani bwege.Narudia:Kama una watoto ni vema hiyo PlayStation ucheze nao na mama yao awe anaandika mshindi.Maana hujui kama hujui.
 
pole sana mkuu!! naamini watakuacha ukifata wnachokitaka..iBTW nilikua naomba ABC za kuanzisha biashara hii mana nina mpango huo siku kadhaa.. sasa sjui wapi naanzia.. yan vitu vya muhimu vinavohitajika.. kwa kuanzia..tafadhali.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Na wenyewe watakua na ushahidi wa mashtaka watakayokupa.

Kwani una miaka mingapi? Naona kama una illusion hivi
 
Wazaz wanalalamika kwa mwenyekiti then mwenyekiti anamwambia polisi then unakamatwa. Kosa hawakosi kwanza Una lesen ya biashara
 
pole sana mkuu!! naamini watakuacha ukifata wnachokitaka..iBTW nilikua naomba ABC za kuanzisha biashara hii mana nina mpango huo siku kadhaa.. sasa sjui wapi naanzia.. yan vitu vya muhimu vinavohitajika.. kwa kuanzia..tafadhali.
Usijali njoo pm kma upo dar itakuwa vizuri zaidi
 
Nipo kwenye proces ya kufungua hii kitu ila sijajua vibali gani vinahitajika ili usisumbuliwe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…