Nimekamatwa kwa kukutwa nachezesha Playstation.

Katika hiyo biashara kukamatwa ni kama sehemu yake ya uendeshaji biashara ingawa siyo fair.

Niliwahi kukamatwa saa 7 usiku nilikua wazi mpaka mida hiyo.

Niliwahi kukamatwa asubuhi saa 5.

Niliwahi kukamatwa saa nne asubuhi.

Anyway katika ishu zote walitaka pesa. Mara zote nilizozungushana nao sijawahi toa pesa zaidi ya 20K. Hata hivyo mimi nija ID ya Mjasiriamali so walivyosema kuhusu kodi nikawaonyesha id.

Kwakua umesema umegoma kutoa pesa basi kitakachofuata ni kuzungushwa kwa muda mrefu na siku kesi ikienda mahakamani basi mashtaka hayatokua kuchezesha play station.

Niamini mimi.
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Hamna watu wana roho mbaya kama hao watu, we wape ela achana nao, africa hamnaga haki, ukijidia unasimamia haki, unaweza shangaa kesi inabadilika na utaambiwa umekutwa na misokoto ya bangi.

Waliofungwa jela sio wote wenye hatia.

Rushwa haiwezi kuisha daima.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Stupid!Unasababisha watoto waache kuzingatia masomo.Peleka hiyo Play Station kwa watoto wako ucheze nao.Kujiliza JF hakutosaidia.Marabook!
 
pole sana mkuu!! naamini watakuacha ukifata wnachokitaka..iBTW nilikua naomba ABC za kuanzisha biashara hii mana nina mpango huo siku kadhaa.. sasa sjui wapi naanzia.. yan vitu vya muhimu vinavohitajika.. kwa kuanzia..tafadhali.
 
Mashahidi wapo waliiona nimekamatwa kwa ajili ya PlayStation kesho naenda kucheza karata ya mwisho wakibug hawatoweza kunishtaki kwa kosa lingine.
Na wenyewe watakua na ushahidi wa mashtaka watakayokupa.

Kwani una miaka mingapi? Naona kama una illusion hivi
 
Wazaz wanalalamika kwa mwenyekiti then mwenyekiti anamwambia polisi then unakamatwa. Kosa hawakosi kwanza Una lesen ya biashara
 
pole sana mkuu!! naamini watakuacha ukifata wnachokitaka..iBTW nilikua naomba ABC za kuanzisha biashara hii mana nina mpango huo siku kadhaa.. sasa sjui wapi naanzia.. yan vitu vya muhimu vinavohitajika.. kwa kuanzia..tafadhali.
Usijali njoo pm kma upo dar itakuwa vizuri zaidi
 
Pole sana mkuu! Mm pia nlshawah kukutwa na tukio kama hlo la kukamatwa eti nachezesha ps watoto wadogo under 18 na nikapewa kosa jngne kua eti ps ni mchezo wa kamal hvyo inabd niwe na vbali vya osha, tra, na bodi ya michezo ya kubahatsha pia nkaambiwa nafanya wanafunzi wafeli wakat mda wangu wa kufungua ulikua ni sa kumi jion had sa mbili ila nlkamatwa jmamos mda wa sa tano cz wkend nlikua nafungua sa nne. Nlila lumande cku mbili,wateja wangu pia nlikamatwa nao ila wao walilala cku moja. Nkafunguliwa kesi ya kuchezesha kamali watoto chn ya miaka 18 ingawa haikua ukweli wateja wangu weng walikua boda boda na hata vjana wa makamo watoto hawakua kivile na wala kamali ilikua haichezw, kutokana na kuona usumbufu wa kuhudhuria mahakaman kila wk mbli nilitoa hela kwa mwendsh mshtak kesi ikafutwa na biashara nkaacha ingawa kiukwl cjawah kua na biashara yeny faida kama ile hasa mikoani sema tu ushamba wa watu na roho mbaya ndo zmepelekea nkaacha. Na alie nichomesha kwa mkuu wa wilaya nikamatwe nlikuja kumjua na alikua frame ya jran yangu na kelele za wacheza ps zlikua znamkera. Ila bdo nataka nijpange nianze tena mana yule dc alipandshwaga cheo na mwendazake akawa rc na bdo ni rc ila ni mshamba sana yule bro. Nw yupo dc mtoto wa daslamu nataka nikaongee nae wazo langu la biashara nimckie atasemaje.
Nipo kwenye proces ya kufungua hii kitu ila sijajua vibali gani vinahitajika ili usisumbuliwe
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom