Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,376
Ahahaaaaaaa.....sasa kimsingi wamefunga ndoa hao au wamefungishwa ndoa na wazazi wao...anyway heri mie dini tofauti na hakuna ndoa ya serikali wala dini na maisha yanasonga mbele na watoto wanabatizwa wakikuwa ruksa kusilimu au hata kuwa walokole...dini zilikuja hiI usishangae zikaja zingine na watu wakaenda kuzifuata.Kuna waliofunga ndoa bomani kwakuwa dini tofauti. Baba wa mke akasema mwanae haweziw kuzini lazima waozwe kwa ubani. Sheikh aliitwa jamaa akabadili dini wakati ana.
Mama wa mume alivyosikia aliwaita akaweka mkwara lazima ndoa ya kanisani. Walibatizwa na kuozwa kanisani.
Hajayajua huyu majanga yanayotokana na dini tofaut ndani ya ndoa usiombe yakukuteHebu acha kupoteza mda tafuta dini yako uoe!kumbe stress za maisha mnajitafutiaga wenyewe!!
Solution..Kafungeni ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Pole na wewe unalo jaribu kumpa muda akigoma achana naye tu km hataki badilisha dini kwa hiari yake.Habari za jpili wakuu?
Kuna binti nimempata nina kama miezi mi3 niko naye kwenye mahusiano, alishawahi kuolewa ila mumewe alifariki, kiukweli binti ni mzuri wa sura na tabia pia na kiukweli nampenda kupita kiasi.
Tatizo linakuja kwamba yeye ni muislamu nami ni mkristo, nimejitahidi kumshawishi atoke huko ila amegoma maana mzee wake ni Sheikh, mm nahitaji kumuoa huyu binti, sasa nimefikiria kubadili dini kwa sekunde kadhaa ili nimweke tu ndani japo sina dhamira ya dhati kuwepo huko.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na ndoa za namna hii.
Sasa wewe ndio umetoa solutionKafungeni ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Mkuu usithubutu kutoa ushauri wa watu kuwa waachane, utakuja kuaibika, Mapenzi ni kitu kingine jamaa yangu.Achana nae huyo hakupendi
Pendaneni tu ila ishu za kubadili dini ndio itakuwa fimbo ya kuwatenganisha.... Na hata mmoja akibadili dini na mkaoana always kuna mikanganyiko itawatokea... Sishauri yoyote kati yenu abadili dini.. Na kama mna masikio basi sikieniHabari za jpili wakuu?
Kuna binti nimempata nina kama miezi mi3 niko naye kwenye mahusiano, alishawahi kuolewa ila mumewe alifariki, kiukweli binti ni mzuri wa sura na tabia pia na kiukweli nampenda kupita kiasi.
Tatizo linakuja kwamba yeye ni muislamu nami ni mkristo, nimejitahidi kumshawishi atoke huko ila amegoma maana mzee wake ni Sheikh, mm nahitaji kumuoa huyu binti, sasa nimefikiria kubadili dini kwa sekunde kadhaa ili nimweke tu ndani japo sina dhamira ya dhati kuwepo huko.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na ndoa za namna hii.
Yes kakaPendaneni tu ila ishu za kubadili dini ndio itakuwa fimbo ya kuwatenganisha.... Na hata mmoja akibadili dini na mkaoana always kuna mikanganyiko itawatokea... Sishauri yoyote kati yenu abadili dini.. Na kama mna masikio basi sikieni
Imani hizi za kuletewa zimetuumiza sanaYes kaka
Watu wanashindwaje kupendana kwa kuwa wanasali.kwenye majengo tofauti!!
Sana kwa kweli halaf zenyewe hata hatuzofuati kwa umakini zimekuwa kama Identity tuu. Ila kwenye mambo yasiyo na maana ndio tunazishikiria kweliiiImani hizi za kuletewa zimetuumiza sana
Na Sidhani kama hizo zakari zenyewe zinajua haya mambo ya diniSana kwa kweli halaf zenyewe hata hatuzofuati kwa umakini zimekuwa kama Identity tuu. Ila kwenye mambo yasiyo na maana ndio tunazishikiria kweliii