Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

97582d329e8f0a2d6851e4d4382137a0.jpg
this is true brother
 
haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana.utasubiri sana .watu wazima kwanza nguvu hawana ,stress za magu,mara nyumba imebomolewa, mikopo,ndugu wanamtegemea etc yaani wenyewe maisha yamewashinda wanatamani hata wajiuze .sasa wewe unapomuambia tena akuongeze kwenye list ni majanga tu unaishia kuliwa kwa mkopo .
sasa hapa mjini wanawake wameamua kuliko kuliwa kwa mkopo wanajichukulia viserengeti vyao wanawalea na maisha yanaenda,ila mungu anawaona aisee. ila wafanyeje?
kuna dogo hapa jirani handsome kweli ngoja amalize form four keshokutwa niachane na ukapera mimi.hata mtume nasikia aliolewa na mwanammke wa miaka 60 wakati ana miaka 18. sembuse mimi bado mbichi kabisa dogo anakuta flavour yote ya utamu aaagh!
siku njema wadau nawatakia na uzee mwema pia
Miss umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana.utasubiri sana .watu wazima kwanza nguvu hawana ,stress za magu,mara nyumba imebomolewa, mikopo,ndugu wanamtegemea etc yaani wenyewe maisha yamewashinda wanatamani hata wajiuze .sasa wewe unapomuambia tena akuongeze kwenye list ni majanga tu unaishia kuliwa kwa mkopo .
sasa hapa mjini wanawake wameamua kuliko kuliwa kwa mkopo wanajichukulia viserengeti vyao wanawalea na maisha yanaenda,ila mungu anawaona aisee. ila wafanyeje?
kuna dogo hapa jirani handsome kweli ngoja amalize form four keshokutwa niachane na ukapera mimi.hata mtume nasikia aliolewa na mwanammke wa miaka 60 wakati ana miaka 18. sembuse mimi bado mbichi kabisa dogo anakuta flavour yote ya utamu aaagh!
siku njema wadau nawatakia na uzee mwema pia
Kumbe uko mjini? Sasa na ubonge huu umpate nani? [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
566cce6991ad4817329848e9133a2be9.jpg
 
Utaweza mziki wa serenget boys wanywa mchuz wa pweza,..utapigwa mashine 3×3 kwa siku
 
haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana.utasubiri sana .watu wazima kwanza nguvu hawana ,stress za magu,mara nyumba imebomolewa, mikopo,ndugu wanamtegemea etc yaani wenyewe maisha yamewashinda wanatamani hata wajiuze .sasa wewe unapomuambia tena akuongeze kwenye list ni majanga tu unaishia kuliwa kwa mkopo .
sasa hapa mjini wanawake wameamua kuliko kuliwa kwa mkopo wanajichukulia viserengeti vyao wanawalea na maisha yanaenda,ila mungu anawaona aisee. ila wafanyeje?
kuna dogo hapa jirani handsome kweli ngoja amalize form four keshokutwa niachane na ukapera mimi.hata mtume nasikia aliolewa na mwanammke wa miaka 60 wakati ana miaka 18. sembuse mimi bado mbichi kabisa dogo anakuta flavour yote ya utamu aaagh!
siku njema wadau nawatakia na uzee mwema pia
Tupe mrejesho wa hizi nyuzi zako kwanza:
Natafuta baba watoto

Nataka mwanaume anaejua kupika
 
Kwani Miss unataka mume wa kuwa naye kimaisha ama unataka mume mwenye hela wa kuwa anakuhonga ili kusaidia kutatua shida za hapa na pale (though shida huwa haziishi duniani) au unataka mtu wa wewe kumlea?

Sent using Jamii Forums mobile app
mume ni wa kuwa nae kimaisha bwana .nataka mtu wa kuishi nae kwa shida na raha hivo tu.hela si zinatafutwa tu jamani?
 
Yah siku hizi unafanya ile kitu roho inapenda mradi hulii cha mtu. Tafuta mbuga Yako uitunze Mwenyewe.
Labda atafute katoto kalikozaliwa leo akafungie ndani mpaka kawe kakubwa ndo atakua hali cha mtu, maskini naona kasichana ka form 2, katakavyopigwa chini baada ya kajamaa kuchukuliwa na Miss mtafutaji. Ila hii Id yako bhana.
 
Back
Top Bottom