Nimejivua Gamba Rasmi

Nimejivua Gamba Rasmi

jivue gamba la mwisho .... tuambie real Id yako
 
Mkuu naona kama chupa ya sumu ya panya pembeni ukichoma kadi, ulitaka kufanya nayo nini?
 
haaaa mkuuu umechoma?
ni kosa kisheria mkuuuu!
mi ninayo bado na ntapambana nao mpaka mwisho!
 
Hongera,ila elewa waelimishe zaid vijana wenzio nn mana ya mabadiliko na pia elewa huku n kazi tu longolongo hapana
 
Nafrahia kuona watu sasa wanajifungua toka kwenye mikono ya mafedhuri
 
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.

Mkuu kadi ya CDM utaichukulia wapi? Nasikia Ole Millya na Mawazo wanaandaliwa karamu kubwa na watakabidhiwa kadi kijijini kwao (Millya). Nawe wapi mkuu?
 
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
Naomba kuuliza...
Wewe origin yako ni Moshi or Arusha?
 
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.

CDM bhana kumbe ndo maana Nape alisema mnajitekenya na kucheka wenyewe!! Lakini chama kikikosa wanachama si vibaya kujifariji kwa namna hii!! ungeonekana mzalendo sana kwa kueweka ID yako halisi ili uvutie wengi, si ajabu ukawa ndo ule padri mzinzi!!
 
Back
Top Bottom