Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,381
umepishana na gari la mshaharandiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Chadema Msijidanganye Kwa Kudhani Siasa Ni Mitandaoni Tu! Imarisheni Chama Nje Ya Mitandao, Maana Mitandao Haipigi Kura Hata Siku Moja. Mnang'ang'ana Na Siasa Nyepesi Na Hafifu Ilhali Wapiga Kura Wanazidi Dhoofika Kwa Kukosa Weredi. Mlianza Vizuri Na Kuvuta Hisia Za Wengi Leo Hii Mmebadilika Na Kuwa Genge La Wahuni Na Wavivu. Hii Rejea Ya Maandiko Matakatifu Yasemayo " Nilikuumba Ukiwa Mzabibu Mwema, Lakini Sasa Umebadilika Na Kuwa Mzabibu Mwitu". Vivyo Hivyo Chadema Ilianza Vema, Leo Hii Imekuwa Pango La Wanyang'anyi Na Wahuni Wasioshabihiana Na Jina La Chama.
Chadema Msijidanganye Kwa Kudhani Siasa Ni Mitandaoni Tu! Imarisheni Chama Nje Ya Mitandao, Maana Mitandao Haipigi Kura Hata Siku Moja. Mnang'ang'ana Na Siasa Nyepesi Na Hafifu Ilhali Wapiga Kura Wanazidi Dhoofika Kwa Kukosa Weredi. Mlianza Vizuri Na Kuvuta Hisia Za Wengi Leo Hii Mmebadilika Na Kuwa Genge La Wahuni Na Wavivu. Hii Rejea Ya Maandiko Matakatifu Yasemayo " Nilikuumba Ukiwa Mzabibu Mwema, Lakini Sasa Umebadilika Na Kuwa Mzabibu Mwitu". Vivyo Hivyo Chadema Ilianza Vema, Leo Hii Imekuwa Pango La Wanyang'anyi Na Wahuni Wasioshabihiana Na Jina La Chama.
Mods, Paw huyu kijana anatukana sana.
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Wewe nani kwani?ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Mkuu hizi ni siasa tu usipanic,ninajua uliipenda sana Chadema lakini mungu kaipenda zaidi.R.I.P magwandaWewe huna akili soma sheria na kanuni za JF wacha kukurupuka, wewe ndio unastahili kupigwa ban kwa uzushi hapa JF.
Kwa taarifa yako IP adress yako unayotumia inajurikana na wenzako wanakuchora unavyojitekenya na kujichekesha.
Sasa muombe huyo Paw wako ruhusa nikutaje jina lako hapa na namba yako ya simu niiweke hapa.
Usijaribu kucheza na mimi hata dakika moja utahadhirika.
Kuna watu ambao walikuwa wamekaa mlangoni ili kuwazuia mamia wasiingie. Kuondoka kwao ni heri kwani sasa mamia aliokuwa anawazuia wataingia! Na wengine kama huyu huu ni wakati muafaka kuondoka. Ondokeni ili mamia wengine wajiunge na CDM!kawasalimie magamba wenzio
Jamani uvulimu tafadhali ninajua inauma kuondokewa lakini ndio mipango ya LemaWewe nani kwani?
Nini umeifanyia CDM mpaka uhisi kuondoka kwako kutaleta Pengo? ?
Halafu tutaamini vipi kwamba ulikua CDM na sio Mwana - Buku 7 FC??
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Vijana werevu wameshatambua hilo na wanajitoa mmoja baada ya mwingine.
Chama kinachojiita cha demokrasia hakiwezi kuficha hesabu za mapato na matumizi...
Mpango wa Elimu Kwa Walioikosa (MEMKWA) unakuhusu sana we Mkata Mauno. Rekebisha Herufi na Ujifunze Silabi na Nomino. Usisahau Elimu YA NUKTA pia.Jamani uvulimu tafadhali ninajua inauma kuondokewa lakini ndio mipango ya Lema
Mkuu hizi ni siasa tu usipanic,ninajua uliipenda sana Chadema lakini mungu kaipenda zaidi.R.I.P magwanda
Cheza Mpira wewe Gamba,
Wacha kulialia kwa Refa kila mara, unaharibu mchezo.
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
sixgates, huo ni uamuzi wa busara sana. Ikiwa chama kinachojiita cha demokrasia kinawawajibisha na kuwasuta wanachama wake, hauna faida kubaki huko.
Chadema ni usanii mtupu, waliopo madarakani wote, wapo kimaslahi zaidi. Wameifanya chadema kuwa saccos yao binafsi na ma "indigo walk"ins wanatemebezewa bakuli kila mkutano. Hawaoni zinavyowaneemesha viongozi wao?
Pale katika uongozi amma ukubali cheo jina lakini usishiriki kabisa katika uongozi,kama ilivyo kwa Arfi, amma ukubali kuitwa msaliti kama ilivyo kwa Mwigamba na sasa Zitto.
Nakusifu kwa uamuzi wako nna uhakika na misukule wengi wengineo watafata nyayo zako