Nimejiokotea dodo ila ndani funza tupu

Nimejiokotea dodo ila ndani funza tupu

Nowdays wasichana wanataka ujira wao we mpe tu ....eeh mpe mpe mpe kabisa ndo walivyo wana vitega uchumi
 
Ilikuwa siku ya sikukuu ya idd niliamua kupumzika nikaenda kupata kinywaji kwa glosary moja maeneo ya karibu na kwangu

Nikiwa nimekaa kama dakika kumi akaja msichana mmoja mrembo sana, alikua ni ndugu wa muhudumu wa pale glosary, yule msichana alikuwa akinitazama mpaka macho yangu yalikosa balance.

Alipozidi kuniangalia sikua na hiana nikamuita akaja fasta na bila kuogopa alinambia jinsi alivonizimia, ila sasa tatizo lake amenifanya ATM tangu Idd mpaka leo ye ni kunibangua mipesa tu, mpaka anakera
Ameshakula bei gani mpaka sasa? Na wewe umeshampinda mara ngapi? Fanya mahesabu uone kama 'equivalent is equal to proportional '[emoji23] kisha chagua kunyoa ama kusuka
 
Ameshakula bei gani mpaka sasa? Na wewe umeshampinda mara ngapi? Fanya mahesabu uone kama 'equivalent is equal to proportional '[emoji23] kisha chagua kunyoa ama kusuka
[emoji38] nitafanya hvyo
 
Itelejensia inaonyesha wewe ndiye unayependa kutoa pesa hata bila kuombwa!
 
IMG-20160915-WA0016.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom