Anamuogopa Joyce Kiria atamsemaKwa nini usimnyime hizo hela?
si ndo mana kila anapozitaka we unaamua kumpa...au labdaaa unamaanisha kuamua kumpa zaidi???Hawezi nitoa pesa tena,mpaka niamue sasa kumpa
Mkuu pengine kakufananisha na ATM.😛😀😀😀Alipozidi kuniangalia sikua na hiana nikamuita akaja fasta na bila kuogopa alinambia jinsi alivonizimia, ila sasa tatizo lake amenifanya ATM tangu Idd mpaka leo ye ni kunibangua mipesa tu, mpaka anakera
[emoji38] budaa umenivunja mbavu,kumbe ndivyo alivyokuwa akifikiriMkuu pengine kakufananisha na ATM.😛😀😀😀
mwanamke unaroho mbaya veve[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kutoa n moyo sio utajiri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwache avune alichokipanda kwako
Kutoa n moyo sio utajiri