jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
- Thread starter
- #21
Vijana kama mimi hatuwezi zuia ujenzi wa viwandavijana kama wewe
Vijana kama mimi hatuwezi zuia ujenzi wa viwandavijana kama wewe
Anafanyaje...you are too weak ama nini?? Basi unamuogopa...Anavyoomba hata kushka kisu ni heri
Sina hstry ya kuwa coward kwa demuAnafanyaje...you are too weak ama nini?? Basi unamuogopa...
ilikuwa siku ya sikukuu ya idd niliamua kupumzika nikaenda kupata kinywaji kwa glosary moja maeneo ya karibu na kwangu
Nikiwa nimekaa kama dakika kumi akaja msichana mmoja mrembo sana,alikua ni ndugu wa muhudumu wa pale glosary,,yule msichana alikuwa akinitazama mpaka macho yangu yalikosa balance,
Alipozidi kuniangalia sikua na hiana nikamuita akaja fasta na bila kuogopa alinambia jinsi alivonizimia,ila sasa tatzo lake amenifanya ATM tangu idd mpaka leo ye ni kunibangua mipesa tu.mpaka anakera
Kama vile anavokupangia matumizi ya papuchi yakeHawezi nitoa pesa tena,mpaka niamue sasa kumpa
Ayii Ngabu wewe usimfundishe mwenzio uchoyo ukoKwa nini usimnyime hizo hela?