Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Uwe na moyo huohuo hata utakapoajiriwa!Hii ni ya mwisho, yaani nipo mwaka wa pili hivi sasa, November naingia wa tatu
Uwe na moyo huohuo hata utakapoajiriwa!Hii ni ya mwisho, yaani nipo mwaka wa pili hivi sasa, November naingia wa tatu
Umelia kwa sababu huko mbeleni ajira hazieleweki,Leo ikiwa siku ya mwisho ya mafunzo kwa vitendo yaani field practice, imekuwa siku ngumu sana kwangu, hasa pale nilipokwenda kuwaaga wanafunzi wale wa kidato Cha sita niliokuwa na wafundisha somo la biology, hakika machozi yamewalenga na mimi nimejikuta nalia tu.
Majonzi yaliongezeka nilipo muaga mkuu wa shule na mkuu wa idara ya biology Hala shuleni hakika imekuwa ni huzuni tupu.
Mkuu wa shule kanitamkia neno moja akasema "asante kwa moyo wako wa upendo, asante kwa kujitoa kwa moyo, hakika moyo wako ni wa dhahabu"
Kwaheri Tabora ,
Kwaheri Tabora.
😃kuna jambo hapa la upendo limenigusa moyo wangu🥺🥺
Ha haaaa sijui bana, ila moyo wangu umejawa na amani sana. Kuna aliye sababisha😃
Ni ile topic Reproduction, ambayo huwa inasubiriwaga kwa hamu, darasa zima ndani, mpaka watoro hawakosi
naona kama unamnafkia😅mshamba_hachekwi unacheka nini sasa?
Hapana, nasema ukweli kabisa.naona kama unamnafkia😅
Mungu akubariki katika masomo yako. Akupe haja za moyo wako.Leo ikiwa siku ya mwisho ya mafunzo kwa vitendo yaani field practice, imekuwa siku ngumu sana kwangu, hasa pale nilipokwenda kuwaaga wanafunzi wale wa kidato Cha sita niliokuwa na wafundisha somo la biology, hakika machozi yamewalenga na mimi nimejikuta nalia tu.
Majonzi yaliongezeka nilipo muaga mkuu wa shule na mkuu wa idara ya biology Hala shuleni hakika imekuwa ni huzuni tupu.
Mkuu wa shule kanitamkia neno moja akasema "asante kwa moyo wako wa upendo, asante kwa kujitoa kwa moyo, hakika moyo wako ni wa dhahabu"
Kwaheri Tabora ,
Kwaheri Tabora.
basi nisamehe bure, nitapunguza kuchekaHapana, nasema ukweli kabisa.
Pia namuelewa mtoa mada.
Halafu mara nyingi nikiwa serious we ndo unanicheka sijui kwanini😀basi nisamehe bure, nitapunguza kucheka
ila comments zako hua zinanichekesha
vitu unavyoandika kama unavyoandikaga 'kazi ya ndoa ni kut****' najikuta nacheka tu😂Halafu mara nyingi nikiwa serious we ndo unanicheka sijui kwanini😀
Nikinyoosha maelezo mwenzangu unacheka lohvitu unavyoandika kama unavyoandikaga 'kazi ya ndoa ni kut****' najikuta nacheka tu😂
hauogopi, hauoni aibuNikinyoosha maelezo mwenzangu unacheka loh
Unamuoneaje aibu mtu usiye muona? Wengine marobot humu😀hauogopi, hauoni aibu