Night shadow
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 585
- 1,112
Siku ya leo nikiwa naangalia mechi ya Barcelona na Girona,nikaona mabango ya kielectronic ya matangazo pale camp nou yakipitisha tangazo la album mpya ya Joe Boy.
Nikakumbuka wakati Diamond akitoa First Of All aliifanyia promotion kubwa kiasi kulinganisha na zinazofanywa na baadhi ya wasinii wetu wanyumbani,wengi waliponda lakini leo nimeelewa biashara ya muziki inahitaji zaidi ya beat na mashairi mazuri.
Nikakumbuka wakati Diamond akitoa First Of All aliifanyia promotion kubwa kiasi kulinganisha na zinazofanywa na baadhi ya wasinii wetu wanyumbani,wengi waliponda lakini leo nimeelewa biashara ya muziki inahitaji zaidi ya beat na mashairi mazuri.