Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,190
- 2,652
Habarini wadau ,nilikuwa nimeenda kujisaidia haja ndogo sasa katika haraka haraka za Kuwai nikajibana na zipu ngozi ya chini ya uume na katika kutumia nguvu kutoa nikasababisha msuguano ambao umeleta kidonda
Sasa nataka mnisaidie nitumie mbinu gani pakauke mapema ,manake naona nikienda kuoga kama ndo panaanza kulainika tena au nikisimamisha mashine ngozi inajivuta panaanza kuleta ulaini tena badala ya kukauka
Sasa nataka mnisaidie nitumie mbinu gani pakauke mapema ,manake naona nikienda kuoga kama ndo panaanza kulainika tena au nikisimamisha mashine ngozi inajivuta panaanza kuleta ulaini tena badala ya kukauka
