Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:
1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010
Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!
1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010
Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!