Nimejiandikisha kupiga kura sasa nauza kadi!

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:

1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010

Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!
 
Kama uko serious basi nakudelete kati ya wanajamii niliowaconsider kuwa na busara. Unauza kadi ya kupigia kura? Na usipopiga huu ujinga tulio nao madarakani tutaumalizaje!
 
Kama uko serious basi nakudelete kati ya wanajamii niliowaconsider kuwa na busara. Unauza kadi ya kupigia kura? Na usipopiga huu ujinga tulio nao madarakani tutaumalizaje!

unataka nimpigie kura nani na nani ili huo "ujinga ulio madarakani" tuumalize?
 
Bado tuko mwanzo wa thread na tumeshaona wavivu wa kufikiria. Mtu amesema anauza kadi as terminology na ametoa vigezo. lakini majuha wanathink literary dammit.

Mkuu Kompanyero. kwa hivyo vigezo vyako hakuna mteja utakayempata. Na sana sana wameshakusoma na wataenda china kutengeneza kadi mbadala kama ya kwako na utashangaa umewapa kura bila hata ya kuwapigia
 
Kama uko serious basi nakudelete kati ya wanajamii niliowaconsider kuwa na busara. Unauza kadi ya kupigia kura? Na usipopiga huu ujinga tulio nao madarakani tutaumalizaje!

Basi hukuwa na ulazima wakujiandikisha kama unauza kadi!!!

wakulu nawshauri mumsome comredi Companero kati kati ya mstari, tukijifikirisha kidogo, tutaelewa ana maana gani hapa,

Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:

1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010

Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!

komredi, at first kigezo cha kwanza utawapata wengi, kigezo cha pili wote watakimbia kama wakitaka kuwa honest,which means kigezo cha tatu cha mapinduzi kitakuwa kimekufa kabisa

hivi, huamini kuwa Azimio la Arusha...dira yetu ya Ujamaa, lilizaliwa Arusha na kuzikwa Zanzibar...nimesikia kaburi lake limefunikwa kwa zege, sasa kulifufua hapo ipo kazi kweli...labda tukamwombe comredi Hugo copy hata kama siye ndo tulimpatia!
 
Bado tuko mwanzo wa thread na tumeshaona wavivu wa kufikiria. Mtu amesema anauza kadi as terminology na ametoa vigezo. lakini majuha wanathink literary dammit.

Mkuu Kompanyero. kwa hivyo vigezo vyako hakuna mteja utakayempata. Na sana sana wameshakusoma na wataenda china kutengeneza kadi mbadala kama ya kwako na utashangaa umewapa kura bila hata ya kuwapigia

mkulu Msanii yani kumbe tulikuwa tunafikiria sawa kabisa....inauma sana we dont take even 2 minutes to think .....
 
mkulu Msanii yani kumbe tulikuwa tunafikiria sawa kabisa....inauma sana we dont take even 2 minutes to think .....

Sidhani kama kuna hitajika mwalimu wa fasihi kuelezea alichoandika labda Compa nafanana na Masiha mana ndo wachache waliokuwa wanasema vitu kwa mifano then wanapatika wahubiri kutafsiri kilichoandikwa -...Statement ipo clear kuwa
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:
Cha kwanza hapo ni huyo bwana kajiandikisha kupiga kura
then akaamua kuuza kadi(mana hapo ni biashara anaifanya na nikwa makusudio ndo mana amejiandikisha akitegemea kwa njaa zake italipa kama ilivyo kawaida ya walahoi wengi)
Mwisho anatoa sifa za mnunuzi..hivi muomba/mpokea/mtoa rushwa wanatambulika machoni pa watu??
 
Nikiwa kwenye foleni leo nilifanya kautafiti (survey) kujua kwa nini watu wanachukua kadi. Japo kautafiti haka hakakuwa na sampuli ya uwakilishi (representative sample) nilipata matokeo haya ya awali (preliminary results):

1. Watu wengi wamechukua kadi iwe utambulisho kwa sababu hawana paspoti wala kitambulisho
2. Hivyo ni wenye kadi wachache sana watapiga kura na inawezekana wengi kama mimi wataiuza

Je, kuna hitaji la kuu-synovate/redet utafiti huu?
 
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:

1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010

Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!
Mkuu ukipata mteja ni-PM, nami yangu naitafutia soko.
 
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:

1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi rushwa
3. Uwe tayari kuleta mapinduzi ya kiujamaa 2010

Aluta Continua!The Struggle continues! Mapambano yanaendelea!

Niuzie mimi, nataka kugombea ubunge. Siombi, sipokei wala sipokelewi rushwa. Ila ukiniuzia kadi nitakukatia kifuta jasho. Na nipo tayari kuleta mapinduzi makubwa. Nafikiri nikifika bungeni tu nitashawishi bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na Rais kwa kuwa ameshindwa kutatua matatizo yetu mengi. Tafadhari niPM.
 
Niuzie mimi, nataka kugombea ubunge. Siombi, sipokei wala sipokelewi rushwa. Ila ukiniuzia kadi nitakukatia kifuta jasho. Na nipo tayari kuleta mapinduzi makubwa. Nafikiri nikifika bungeni tu nitashawishi bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na Rais kwa kuwa ameshindwa kutatua matatizo yetu mengi. Tafadhari niPM.

Du, u-nafikiri!
 
Back
Top Bottom