GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
- Thread starter
- #41
Usijali mkuu!Usikubali kushindwa kirahisi, bado mudaa unao ndugu kwani umeambiwa mwisho wa dunia ni kesho! Fight back.
Lakini hongera kwa huamzi wako, lakini sitegemei uzi kutoka kwako unao husu kujutia ndoa!
Nategemea uzi kutoka kwako una husu
"UTAMU WA NDOA AU UTAMU WA WASICHANA WA MSUMBIJI"