Nimejaribu kumuacha lakini bado msumbufu

Nimejaribu kumuacha lakini bado msumbufu

sasa huku uswazi ni mahali pake. wadada sasa mpaka nawashangaa aisee. uswazi kuna vituko

mie wananikeraga wale wacheza uchi mtu anacheza hadi nguo anavua bila kujali smartfone zachukua video na picha.
 
mie wananikeraga wale wacheza uchi mtu anacheza hadi nguo anavua bila kujali smartfone zachukua video na picha.

wale ndo wanakosea sana. heshima pia muhimu ila hawalifikiri hilo wengine
 
Bei maelewano pia kuna package tofautitofauti....keki anapelekewa na ataikata mwenyewe atake asitake!!!
maji atamwagiwa pia kama hakutakua na wine wala shampein bila kusahau uwepo wa kameraman akichukua picha na video za matukio toka ofisini mpaka kwa msutwaji kama ushahidi kwa bosi kitarumbeta nacho kuvutia wapita njia na kupandisha mzuka wasutaji
Mc kwaajili ya matangazo
MJINI MIPANGOoo!!!
Apo kampuni1 imeshaajili watu zaidi ya20

Rubii nakuaminia mwanangu, kweli mjini mipango muhimu mkono uende kinywani.
 
Punguza mawasiliano taratibu...
Punguza frequent meetings za mara kwa mara...
 
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!

hahaha we rubi ww
 
Pole sana yaonekana anakukera sana na hauna mpango nae pia haumpendi!

Kuthibitisha hayo weka namba yake hapa ya simu usaidiwe!
 
Kuwa na msimamo baaas.. Hamnaga asiekata tamaa kumpenda mtu asiempenda, hvyo na ww onyesha dhahir kuwa humpend wala huna chembe ya mapenz kwake. Atakuacha tu, onyesha kumjal girlfrnd wako zaid pindi akianza kuleta swaga zake. atasiz tu
 
Ha ha haaaa Mamaaaa misuto Special...
Kuanzia leo rubii ntakuwa nakuita Mamaa Misuto Special....
Njoo nikutengenezee kampuni tuisajili kabisa na Advertisement tufanye inaelekea tutapata wateja kwa hii kitu.


Daaaaah JF bana!

JF bana raha tupu,..
 
Last edited by a moderator:
Ni bei gani kusuta? Nasikia kuna mpaka keki siku hizi, anaesutwa hupelekewa keki yenye ujumbe unaomuhusu jee hii ni kweli?

Ama kweli bongo kuna ubunifu wa ajira!

Kama kunakeki waje wanisute lakini waje na keki,...
 
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!

Ha haaa lols
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom