Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!
Ha ha haaaa Mamaaaa misuto Special...
Kuanzia leo rubii ntakuwa nakuita Mamaa Misuto Special....
Njoo nikutengenezee kampuni tuisajili kabisa na Advertisement tufanye inaelekea tutapata wateja kwa hii kitu.
Daaaaah JF bana!
Last edited by a moderator: