Nimejaribu kumuacha lakini bado msumbufu

Nimejaribu kumuacha lakini bado msumbufu

mfate42

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
4,061
Reaction score
4,847
Huyu binti bado sijamuelewa lengo lake haswa ni lipi, mana kila nikijaribu kumpotezea basi itapita hata miezi mitano utashangaa anarudi na swaga zilezile za mapenzi, hatujawahi kuwa wapenzi na wala sijawahi kumuhonga hata mia.

Nifanyaje ili aamini siwezi kuwa nae
?
 
Katika stori unazopiga nae Mzungumzie sana Girlfriend wako wa sasa ambae uko nae sasa,... Hii itaweza kumfanya kwa kiasi flani kupunguza kasi ya kukutaka kimapenzi.

Mengine nawaachia wataalam!
 
Mtambulishe kwa girlfriend wako na umpe namba ya huyo girlfriend. Ila jiandae kwa umbea wa kila mara kati yenu kuhusu mwanamke ulie nae na unaokuhusu wewe kwenda kwa mwanamke wako.
 
akirudi na swaga hizo we endelea kumpotezea tu, usiwe karibu nae wala kumuendekeza, kama anajua una mpenzi na anamfahamu mpenzio mwambie mwenzio kabisa awe makini nae maana anaweza kuwachonganisha.
 
Katika stori unazopiga nae Mzungumzie sana Girlfriend wako wa sasa ambae uko nae sasa,... Hii itaweza kumfanya kwa kiasi flani kupunguza kasi ya kukutaka kimapenzi.

Mengine nawaachia wataalam!

yaas kiasi flani akitupiamo hii swaga yako lazma atamkata speed zake tuu
 
Huyu binti bado sijamuelewa lengo lake haswa ni lipi, mana kila nikijaribu kumpotezea basi itapita hata miezi mitano utashangaa anarudi na swaga zilezile za mapenzi, hatujawahi kuwa wapenzi na wala sijawahi kumuhonga hata mia.

Nifanyaje ili aamini siwezi kuwa nae
?

Atakuwa mbovu! Angekuwa analipa usingekuja kuleta hii thread!
 
hahaha ntakutumia picha..umuone..ni mkali mnoo sema tabia yake ndo siridhishwi nayo. prondo
 
Last edited by a moderator:
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!
 
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!

hii kali siku hiz hadi kuna misuto special group... hebu nisute kidogo nione ufanisi wenu wa kazi
 
hii kali siku hiz hadi kuna misuto special group... hebu nisute kidogo nione ufanisi wenu wa kazi

Shangaa group?? wanasutwa na mziki mnene kama ubatizo na keki anakata anatulisha...wewe leta kazi ufanisi utaupata eneo la tukio
 
Si umesema ni mzuri sana, Nipe namba yake nimkanye aisee, tabia hiyo sio nzuri hata kidogo..
 
mie ninakikundi special kwa misuto...nakupa OFA sie tupo10 tununulie madira tu na address yake bila kusahau namba ya simu
Nakuagdi kakaangu hatakufuata tena baada ya siku ya tukio mpaka anakufa!

Ninaomba namba za ofisi yenu maana mie nina case kama hiyo ya jamaa tena kwa wanawake wawili tofauti... Pia nifahamishe gharama zenu zimekaaje!!?
 
Ninaomba namba za ofisi yenu maana mie nina case kama hiyo ya jamaa tena kwa wanawake wawili tofauti... Pia nifahamishe gharama zenu zimekaaje!!?

ngoja nipo kibaruani pilika nyingi nikitoka nitakuja kukupa full package!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom