Xiang Hao
Senior Member
- Nov 19, 2016
- 126
- 97
mkuu usiogope nimepitia makaratasi yako hapo juu lakini hiko kama ni kiarabu sio cha dunia hii binafsi kusoma kiarabu nakicharaza kiasi flani lakini hapo herufi nilizozipata si zaidi ya tatu na hata umpelee mwarabu kutoka muscat hawezi kujua maana yake kama kaenda kwa waganja wa mujini basi kapigwa lakini kama ni mganga kweli basi hicho sio kiarabu ni lugha za kijini hakuna wakukupa tafsiri labda mlozi ndiye atakusaidi.