CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 499
- 736
- Thread starter
- #361
Najua sijafungwa wala nini,na hapa nilikuja sio kuomba ushauri wa nini cha kufanya,la hasha,nilikuja ili nisaidiwe kupata tafsiri ya maandishi hayo hapo juu,kwani lugha iliyoandikwa siielewi hata kidogo,kwa hiyo ukirudia kusoma maelezo yangu itakuwa vizuri zaidi ili utoe mchango wako wa kutafsiri hiyo lugha!!!Umenivunja mbavu, kafungwa mpaka mapumbu, huyu kaja kuomba ushauri huku, amefungwa kweli, mi ningechoma halafu nikaa kimya tu kiaiana