Wale watu wao ambao wapo pale mie sijui niitaje maana Internship nachofahamu ni mwanafunzi wa chuo ambae atarudi chuo lakini wale pale kama wamewekwa tuu ili ikitokea ajira wawachukue wanakula kilo 5 sasa we mupya sijui utakula ngapi!!!??ila mfanyi kazi wa chini anaanzia kilo 7...
ALL DA BEST "CHAMPION"