Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Sasa kama umri wako umepita hebu pita mbali na hili jukwaa, tuache sisi wazee vijana ambao tunajifunza mbinu mpya. We ulishazeeka and we cant teach an old dog new tricksNi kweli ila kumbuka si kila mwanamme ni mjinga au mwenye tamaaa za jogoo kihivyo...ukifika umri fulani kusoma alama za nyakati ni muhimu sana.
