Usisahau kuwa unatembea na yale mafuta yanayoanzia na herufi K maana una kila dalili za Kufumuliwa marindanyama wanazopika wake za watu ndo zina ubora sana zinakuwa ktk goo quality and quantity .....kamwe sitoacha kuzinunua
Usisahau kuwa unatembea na yale mafuta yanayoanzia na herufi K maana una kila dalili za Kufumuliwa marinda
Usisahau kuwa unatembea na yale mafuta yanayoanzia na herufi K maana una kila dalili za Kufumuliwa marinda
Umeongea ukweli MkuuMkuu swali ulilowauliza wanawake jibu lake tunalo wanaume. miss chagga hawezi kuijua ladha ya Nifah wallah nakuambia. Tuulize watumiaji.
'Chipapu' bwana zina ladha anuai. Asikudanganye mtu zafanana. Na ngoja leo nikupe siri...wengi wa wanaume unaowasikia wakihaha kutafuta dawa za kuongeza nguvu, hawaumwi wale. Wameshindwa tu kujua kuwa UKILA MHARAGE ILE ILE SIKU NENDA SIKU RUDI lazima uishiwe hamu.
Unapomix leo hapa kesho pale ndio unapopata mzuka. Kama unabisha, pitia Sinza siku moja...ukitoka hapo utaona mzuka kwa mamie huko nyumbani.