Dini zinahimiza usiwe na akili, usihoji, usiulize, usitafakari kwamba ukifanya hayo unamkufuru Mungu. Mungu anataka wewe uamini tu chochote cha kitaahira alichokisema, ukikihoji unamkufuru.Vivyo hivyo hata akiumwa ni marufuku kumchangia damu maana atapata unajisi si ndiyo?.
Au vipi muache njaa imnyooshe uone kama hatokula huyo mnyama
Waliotunga hizi dini walikuwa vilaza sana, yaan Huyo Mungu wa rehema aumbe wanyama then awawekee unajisi?.
Kula chochote isipokuwa binadamu tu, cha msingi huvunji sheria za nchi.
ulizaNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Vikioshwa vizuri havina shida kwakuwa haramu ni nyama sio chombo. Na akiwa mazingira ambayo hakuna option nyingine ya chakula anaruhusiwa kula ili asife njaaNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Waislam wanaichukia nguruwe ila sio chombo, wakristo hadi chombo kinatupwaNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Wana visichana vyao( girlfriends) wakristo, outing kwa msuya kawe wale kitoweo cha mbuzi wa kikatholiki,then wanaenda kukissHaina shida huyoo ndugu yako ungetakiwa umnunulie steki tupu wanakulaga hawana shida. au mkuu unanunuaga yenye mafuta ili mwenzio asile sio poa.
Nini chombo kutumika na nyama ya kitimoto? Hao watu hao wanatafuna mdudu hakuna tena.Nauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Kuna tatizo gani, kwani Mungu aliwakataza lini kutokula kitimoto? Kuna vitu vingine ni vya kipuuzi tu, ushawahi kusikia mtu kafa kwa kula kitimoto kisa Mungu kakataza? Upuuzi mwingi kwenye hivi vitabu vimetungwa na wanadamu na wala si Mungu, kabla ya Waarab na wazungu kutuletea hizi dini zao za michongo, mbona tulikuwa tunakula nguruwe bila hata madhara yeyote? Tusipende kuiga vitu vya kipuuzi, kama una hamu ya kula kitimoto kula tu.Nauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Katika dharula wanaruhisiwa pia kula. Hiyo no dharulaNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Kuna siku Mungu alikushukia na kukuambia kula nguruwe ni dhambi au haram? Wacha kuiga vitu vya kipuuzi toka kwa watu, nguruwe hana uharam wowote ule, sema tu Mohammed alikuwa na wivu kuona waru wanakula vitu vinono. Ulishawahi sikia binadamu kafa kwa kula nguruwe?Nauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?