Hizi ndizo trick za kununua nyama mbichi zikiwa kilo zimekamilika

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Wanunuzi wengi wanaonunua nyama mbichi kwenye mabucha tunatandikwa kwa staili ya kipekee ambayo mpaka leo hatufahamu.

Kiukweli ukiwagundua wanaweza kukuchukia hata kutokuuzia nyama.

Mambo ambayo ya kuzingatia unapotaka kununua nyama mbichi ni haya:

*Hakikisha nyama imekaa muda ikiwa imening'inia na ipunguze kama yale maji na damu yaliyomo kwenye au nenda buchani muda umekwenda.

*Usikubali muuza bucha kukupa nyama zilizo juu ya meza tayari kazikata.

*Hakikisha mwenye bucha kuwa na mzani wa digital kama ana wa mawe basi anapopima asiwe anarusha nyama ili usiweze kujua kama mzani umebalance.

*Kwa wale wanunua utumbo wa ng'ombe hakikisha utumbo usiwe na maji yale kila muda anamwagilizia utalia.

********
Nyama mbichi kilo utaipata pale ikitundikwa muda mrefu kuondoa yale yote unayoona kama kilo zipo sawa
IMG_6356.jpg
 
... mizani ya digital napo wanapiga balaa usipokuwa makini. Kuna namna wanachezea zile namba mzani unaanzia 115 say akishamaliza fasta anarudisha 0.00. Unapaswa kuwa makini mno otherwise unapoteza grams za kutosha! Tena kama unanunua kg nyingi (zaidi ya 5) unapigwa kweli kweli.

Epuka kutuma watoto buchani; sio wadadisi na wakigundua mara nyingi ni waoga kuhoji same to akina mama walio wengi.
 
Utumbo usio na maji hivi unaujua utumbo kweli wewe? Au unaufananisha na mkia? Utumbo yake maji ukiremba utajua haujui!

Plli kununua nyama jioni baadhi ya nyama nzuri hutakaa uikute buchani maishani!
Jioni utaishia kupata mgongo na makanyagio!
 
wanunuzi wengi wanaonunua nyama mbichi kwenye mabucha tuna tandikwa kwa staili ya kipee ambayo mpaka leo hatufahamu.

Kiukweli ukiwagundua wanaweza kukuchukia hata kuto kuuzia nyama.

Mambo ambayo ya kuzingatia unapotaka kununua nyama mbichi ni haya:

*Hakikisha nyama imekaa mda ikiwa imening'inia na ipunguze kama yale maji na damu yaliyomo kwenye au nenda buchani mda umekwenda.

*Usikubali muuza bucha kukupa nyama zilizo juu ya meza teyari kazikata.

*hakikisha mwenye bucha kuwa na mzani wa digital kama ana wa mawe basi anapo pima asiwe anarusha nyama ili usiweze kujua kama mzani umebalance.

*kwa wale wanunua utumbo wa ng'ombe hakikisha utumbe usiwe na maji yale kila mda anamwagilizia utalia.

********
Nyama mbichi kilo utaipata pale ikitundikwa mda mrefu kuondoa yale yote unayoona kama kilo zipo sawaView attachment 2200918
Watanzania yatosha. Acheni mara moja kuendekeza na kupenda anasa. Huo muda wa kula nyama mnautoa wapi? Nyama sasa hivi kilo ni elfu kumi. Huo uthubutu na ujasiri wa kununua na kula nyama kipindi hiki kigumu cha uchumi na infleshen MNAUTOA WAPI?
 
Watanzania yatosha. Acheni mara moja kuendekeza na kupenda anasa. Huo muda wa kula nyama mnautoa wapi? Nyama sasa hivi kilo ni elfu kumi. Huo uthubutu na ujasiri wa kununua na kula nyama kipindi hiki kigumu cha uchumi na infleshen MNAUTOA WAPI?
Una roho ya kimaskini sana.
 
Una roho ya kimaskini sana.
Tulia wewe acha kuendekeza na kupenda anasa. Tunasafari ndefu kama nchi. Onea huruma kizazi kijacho hata kama wewe hutafaidi lakini wajukuu zako watafaidi kama ukiacha anasa sasa hivi na kujikita kwenye kufanya kazi.

Acha kupendapenda anasa wewee ukila mihogo tu bila nyama utakufa?
 
Mimi kwakweli hua naenda kununua kwenye bucha moja la ma-ustaadh flani huku mtaani. Sijui kama wengine wako hivi lakini hawa jamaa ni faithful balaa. Wameshika dini haswa. Kuna siku niliacha hela nkasema ntapitia nikirudi, nilivorudi yule dada akaniambia kua gram 100 zimepungua kwenye order yangu hivo anauliza if anirudishie hela ya hiyo gram 100 au niiache ntaongeza siku nyingine.
Changamoto yao n kwamba hawauzi utumbo!
 
Utumbo usio na maji hivi unaujua utumbo kweli wewe? Au unaufananisha na mkia? Utumbo yake maji ukiremba utajua haujui!

Plli kununua nyama jioni baadhi ya nyama nzuri hutakaa uikute buchani maishani!
Jioni utaishia kupata mgongo na makanyagio!
Mzee mgongo unaujua kweli wewe au useme eti Ngurinyi au nundu uikute jioni
 
Wanunuzi wengi wanaonunua nyama mbichi kwenye mabucha tunatandikwa kwa staili ya kipekee ambayo mpaka leo hatufahamu.

Kiukweli ukiwagundua wanaweza kukuchukia hata kutokuuzia nyama.

Mambo ambayo ya kuzingatia unapotaka kununua nyama mbichi ni haya:

*Hakikisha nyama imekaa muda ikiwa imening'inia na ipunguze kama yale maji na damu yaliyomo kwenye au nenda buchani muda umekwenda.

*Usikubali muuza bucha kukupa nyama zilizo juu ya meza tayari kazikata.

*Hakikisha mwenye bucha kuwa na mzani wa digital kama ana wa mawe basi anapopima asiwe anarusha nyama ili usiweze kujua kama mzani umebalance.

*Kwa wale wanunua utumbo wa ng'ombe hakikisha utumbo usiwe na maji yale kila muda anamwagilizia utalia.

********
Nyama mbichi kilo utaipata pale ikitundikwa muda mrefu kuondoa yale yote unayoona kama kilo zipo sawaView attachment 2200918
Kwa hiyo yeye anaye kuuzia naye akae machinjioni asubiri nyama ining'ínizwe kwanza au hii imekaaje? Na vipi unapoenda kununua samaki waliogandishwa kwenye freezer unafanyaje hebu tupe akili pia hapo
 
Wanunuzi wengi wanaonunua nyama mbichi kwenye mabucha tunatandikwa kwa staili ya kipekee ambayo mpaka leo hatufahamu.

Kiukweli ukiwagundua wanaweza kukuchukia hata kutokuuzia nyama.

Mambo ambayo ya kuzingatia unapotaka kununua nyama mbichi ni haya:

*Hakikisha nyama imekaa muda ikiwa imening'inia na ipunguze kama yale maji na damu yaliyomo kwenye au nenda buchani muda umekwenda.

*Usikubali muuza bucha kukupa nyama zilizo juu ya meza tayari kazikata.

*Hakikisha mwenye bucha kuwa na mzani wa digital kama ana wa mawe basi anapopima asiwe anarusha nyama ili usiweze kujua kama mzani umebalance.

*Kwa wale wanunua utumbo wa ng'ombe hakikisha utumbo usiwe na maji yale kila muda anamwagilizia utalia.

********
Nyama mbichi kilo utaipata pale ikitundikwa muda mrefu kuondoa yale yote unayoona kama kilo zipo sawaView attachment 2200918
Shida zote za nini? nunua ngombe wa kimasai(kienyeji) chinja mwenyewe weka kwenye friji,unakula mwezi mzima halafu ni watamu sana.Maisha ya kununua buchani unakula sana nyama za ng'ombe wagonjwa.
 
Back
Top Bottom