Nimeishiwa swagz kwa Bint flani

Nimeishiwa swagz kwa Bint flani

Anamiaka 20 ni mwanafunzi wa chuo.Kiukweli yule bint wa ajabu anapenda movie na mziki tu.
Kila ukichomekea swaggz anakuambia yeye hajawai kupenda na hafikirii kupenda.

Yeye nimemzid miez kadhaa kama nane hivi.
Niliwai kuwa na mpenzi ila sikumangaikia maana dem aliingia lain mwenyewe.
Mhm!Naisi swaggz zangu ni kavu.Maana sanaa ya maongezi ni tatizo kwangu.

hebu mlete ni mpe mamuvi kisha nikurekebishie....
 
Umethema anapenda mudhiki,kwi kwii hebu mcheki brandy kule mp3juices udownload kibao chake cha miaka ya 90 "i wanna be down" ukifanyie tizi halafu siku moja mtokee mtumie kwenye phone,akikwambia "jamaani huu wimbo mzuri" mzee anza kumwangukia songi lote "i would like to get to know if i could be,the kind of guy that you could be down for,cause when i look at you i feel something tell me,that you are the kind of girl that i should make a move on,and if i don't let you know then i won't be fo real,i might be wrong but i feel like something could be going on,the more i see you more,that becomes true,there ain't no other for me it's only you,i wanna be down,with what you're going through,i wanna be down,i wanna be down with you,no matter what time,of day or night.." afu uje kunipa majibu,shauri dhenu watoto wengine wa kidhungu,wanataka shobo kali za perfumes za ughaibuni,nyie kutwa taarab tu!afu imba kwa hilo hilo sauti lako flati naturali ndo atapenda,usikaze sauti kama brandy,utakohoa bure na kumboa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom