Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 120
Kupitia AzamTv kuna tamthilia inaitwa kombolela, iko vizuri sana, mimi sio mpenzi wa tamthilia za Bongo, ila hii ni kali.
Inaakisi maisha halisi ya uswahilini, maisha halisi ya Mtanzania wa hali ya chini(Mnyonge).
Maisha ya Familia zetu za kiswahili, Baba na Mama wanaishi pamoja na Watoto wao pamoja na wajukuu wao nyumba moja! Yaani zile familia unakuta wadada wamezalishwa wakiwa nyumbani halafu wajukuu wanalelewa na babu na bibi.
Huku upande wa pili kuna kaka mkubwa wa familia, haeleweki maisha yake na yeye yupo nyumbani tu kula anamtegemea baba. Familia ambayo ukichelewa wakati wa msosi ndio nitolee.
Ukipata muda icheki iko poa sana, inafundisho kubwa sana, ina gwiji mzee nkwabi
Inaakisi maisha halisi ya uswahilini, maisha halisi ya Mtanzania wa hali ya chini(Mnyonge).
Maisha ya Familia zetu za kiswahili, Baba na Mama wanaishi pamoja na Watoto wao pamoja na wajukuu wao nyumba moja! Yaani zile familia unakuta wadada wamezalishwa wakiwa nyumbani halafu wajukuu wanalelewa na babu na bibi.
Huku upande wa pili kuna kaka mkubwa wa familia, haeleweki maisha yake na yeye yupo nyumbani tu kula anamtegemea baba. Familia ambayo ukichelewa wakati wa msosi ndio nitolee.
Ukipata muda icheki iko poa sana, inafundisho kubwa sana, ina gwiji mzee nkwabi