"Kura za maoni siyo kigezo pekee cha mgombea wa Chadema kusimamishwa kama mgombea" Source Star tv habari from Kalenga.
Demokrasia maana yake n nn? Kama mgombea hana vigezo anaingiaje kwenye mchakato wa kupigiwa kura ya maoni? Iweje mshindi wa kura za maoni apigwe chini bt wapili ndo asimamishwe kama mgombea?
Demokrasia maana yake n nn? Kama mgombea hana vigezo anaingiaje kwenye mchakato wa kupigiwa kura ya maoni? Iweje mshindi wa kura za maoni apigwe chini bt wapili ndo asimamishwe kama mgombea?