kwa ufahamu tu. KIGWAngaLA. alipata kura 1,800 (elfu moja mia nane tu), huku Bashe akipata kura 14,000 (efku kumi na nne) kura alizopata kigwangala ni sawa na 1 ya 9 YA Kura alizopata BASHE???..sasa namshangaa ndg KIKOBA. ambaye anajaribu kujenga hoja zisizo na ushadi wowote.. anasahau maajabu ya chama chake......