asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Waacheni wafu wazike wafu wenzao..............
Mpwa nyumba nzima kila mtu ana ndevu?
Kabisa. Yaani kila mtu ktk chama ni msemaji. Hata wewe, ukijisikia kumsema mtu ndani ya chama hiki we itisha tu mkutano na media, hakuna atakaekuhoji.
Kabisa. Yaani kila mtu ktk chama ni msemaji. Hata wewe, ukijisikia kumsema mtu ndani ya chama hiki we itisha tu mkutano na media, hakuna atakaekuhoji.
Waambieni Nape na Kinana ma mizigo yatawamaliza, hawayawezi!!!!mbona chadema mpaka akina yericko wanakisemea chama? mbona akina mida8 wanatukana viingozi wakubwa wa chama wanavumiliwa? slaa anaropoka hovyo vitu ambavyo si msimamo wa chama kama kupika gongo?
Hata kama ungekuwa ni wewe mkuu, mtu amekuchangishia milioni mia mbili kwenye hiyo dini yako utashindwa kumtetea?Ila usimseme EL hata viongozi wa baadhi ya dini watakukemea
Hiyo ni demokrasia ndani ya CHAMA , siyo kama CHADEMA.
Inaelekea wewe ni chakula ya Zitto, Zitto kabanwa na nini? M.A.V.I au mlango? Zito kajifanya kidume kumbe G.O.V.I sasa wanataka kumtairi anaanza kurukaruka. Atabaki na PAC yake ofa ya CCM. Cdm hana chake tena. Ni lazima achinjiwe baharini tu safari hii achomoki. Keshajiunga na akina Hamad Rashid na akina Kafulila wabunge wa mahakama.Kama CCM kwshnei, uoga wa nini? tumieni hiyo nafasi, otherwise mtajikojolea pale mtakapowaona wamerudi pamoja , CCM wana demokrasia bwna ,pale hakuna mtu kubanwa kama alivyofanyiwa ZITTO kule Uchaggani.
mbona chadema mpaka akina yericko wanakisemea chama? mbona akina mida8 wanatukana viingozi wakubwa wa chama wanavumiliwa? slaa anaropoka hovyo vitu ambavyo si msimamo wa chama kama kupika gongo?
Lowassa kiboko chenu
mi namhitaji sana awe rais