Nimeipenda CCM Bure yaani Kama Kambale Vile

Nimeipenda CCM Bure yaani Kama Kambale Vile

hakuna wa kumgusa Loawsa CCM nzima, hao akina Malecela wanarushia mawe kwa mbali. XCCM wote ni we...... tena wakubwa tu
Mjomba Elli ulijificha wapi ukawachungulia hao jamaa? Siku zao zimekwisha kabisa. Hakuna aliyetegemea kuwa wangejifia hivyo bila hata kurusha teke. Ndo maana wameamua kila mtu kuchukua anachokiona mbele yake.
Walizoea kwenda kujichotea tu kwenye vyombo vya fedha kama za kwao, walizoea kutamalaki viwanja na mashamba mpaka vijijini. Watanzania M4C OPD imewaamsha. Sasa lile li chama likuubwa liko hoi; hata ya kununulia chumvi hakuna. Kila mwenye mwanya kaiba kaenda kuficha ili atoke nazo 2015.
Mzee EL anawasumbua na zile za Richmond, yaani wamechanganyikiwa hadi baasi. Wamesahau hata vikao vya kujisemea kwani hata vikao vyao m/kiti wao kavidharau. Hakuna faida yeyote ya matamko yao ya vikaoni. Tangu kuvuana magamba mpaka mizigo na sasa EL.
Saa ya ukombozi ni sasa. OPD juu zaidi, washa moto uwachome hadi hayo magamba yawachunuke kama kwato za mbuzi.
 
ndani ccm hakuna dictatorship, freedom of expression. Hongereni sana ccm, kila mwenye lake na litoke lakini mwisho wa siku one effort

wajiliwaza kwa mawazo dufu.


Ilhali chujio la ufisadi limewachuja na mmebaki makapi ya kisiasa!

Mmekuwa malipyoto,misukule isofugika. Chadema imewamaliza mmebaki kutapa tapa.
 
Unaota ndoto ya MCHANA. LISSU,BEN SAA NANE wasikusikie na maneno mbofu mbofu kama hayo.

Hwawezi sema chochote sababu nimesema ukweli kuwa CCM ingeenda SHAMBA kulima ikawaacha CDM wakigombana na kwenda kuvuna pale watakapopatana,lakini tofauti hapo CCM mliingilia mpaka ndani ugomvi wao,sasa siku wakipatana sijui kama CCM kutakalika.
 
Ndani CCM hakuna dictatorship, freedom of expression. Hongereni sana CCM, kila mwenye lake na litoke lakini mwisho wa siku one effort

sasa mbona lowassa kutangaza nia imekuwa nongwa?au demokrasia ya ccm ina macho??
 
hao jamaa wamelewa common mbona! Au mmesahau wanajamv?
Kwishneey
 
Hiyo ndiyo tofauti kati CCM na CHADEMA, makonda angekuwa CHADEMA angetimuliwa. CCM full Demokrasia.
Hebu umia kidogo

saba.jpg
 
Jifurahisheni tu hamjui chochote kuhusu siasa za CCM wanatifuana sasa hivi ikikaribia uchaguzi CCM one team na ushindi kama kawa kikwete kidume cha mbegu dhaifu mbowe anaezidiwa akili na mtt mdg ZZK

aaaah wewe ndo hata huelewi kinachoendlea....huu ni mwendelezo wa vita ya makund tokea uanzishwe rasmi ndan ya chama hcho.....Lin makundi hasimu yamewah kushirikiana ccm? bado kwa sabab wote ni wachumia matumbo. vita mwaka huu lazma watoane roho......kujua jk ka ni kidume tukuulize vzr wewe maana inaonekana unajua cnaa huo udume wake......jinga we we!!!
 
Kama CCM kwshnei, uoga wa nini? tumieni hiyo nafasi, otherwise mtajikojolea pale mtakapowaona wamerudi pamoja , CCM wana demokrasia bwna ,pale hakuna mtu kubanwa kama alivyofanyiwa ZITTO kule Uchaggani.

Yule aliyesema CCM haina dira yuko wapi!! acha kudanganya
 
ukitaka kujua mguvu za mlevi ccm mnyanganyegamba la kijani mvalishe gwanda atakufa kwa presha ya kukosa ulafi
 
Teh teh teh...nyie mnafikiri kwa nini Vasco Dagama hapendi kuwepo muda mwingi nje ya Bongo.... Vasco Dagama ana akili za sana.
 
Siku zote chama makini hakina mwenyewe, bali kina wenyewe. CCM siyo CHADEMA ya MTEI chini ya mwamvuli wa MBOWE.


Kweli kinawenyewe ambao wengi wao ni mafisadi waliofarakana ila aliyeiba zaidi ndiye anatarajiwa kugombea uraisi ,msemo wa mwenye kisu kikali ndiye atakula nyama una maana zaidi CCM tusubiri 2014
 
Siku za hivi karibuni nimekuwa na furaha tu.... yaani kila nikiangalia hekaheka za CCM. Nilichokipenda zaidi ni ile hali ya familia moja kwa na wasemaji kibao yaani wote wana ndevu kuanzia Baba hadi watoto.

Kila mtu ana la kusema kwenye vyombo vya habari, kila mtu ana uwezo wa kuchagua mgombea, kla mtu ana uwezo wa kumhukumu mwenzie, mara huyu ni mzigo, mara huyu ni kiroba mara huyu ametumwa....bassssi raha tupu.

Honegereni CCM. mlijisahau kidogo mkaelekeza nguvu zenu kwenye mgogoro usiowahusu!

Kweli CCM inafurahisha kumbe hata wewe umenogewa na matamko yao? Mwenzio asubuhi -jioni nacheka tu. Ndio maana nikasema naunga Mkono CHADEMA na sio CCM tena.
 
Ndani CCM hakuna dictatorship, freedom of expression. Hongereni sana CCM, kila mwenye lake na litoke lakini mwisho wa siku one effort

mfano rahisi ni Arumeru mashariki, Sombetini na zile kata 4 za Arusha ''tuna one effort''
 
Hiyo ndiyo tofauti kati CCM na CHADEMA, makonda angekuwa CHADEMA angetimuliwa. CCM full Demokrasia.

Ndani CCM hakuna dictatorship, freedom of expression. Hongereni sana CCM, kila mwenye lake na litoke lakini mwisho wa siku one effort

Hiyo ni demokrasia ndani ya CHAMA , siyo kama CHADEMA.

Kama CCM kwshnei, uoga wa nini? tumieni hiyo nafasi, otherwise mtajikojolea pale mtakapowaona wamerudi pamoja , CCM wana demokrasia bwna ,pale hakuna mtu kubanwa kama alivyofanyiwa ZITTO kule Uchaggani.

safi sana , SIJUI KAMA cdm mmeipata hii. CCM siyo CHADEMA , akiguswa mtu na kuambiwa ukweli anatimuliwa.

Siku zote chama makini hakina mwenyewe, bali kina wenyewe. CCM siyo CHADEMA ya MTEI chini ya mwamvuli wa MBOWE.

Najua hii inawauma sana CHADEMA. mlitaka kuwepo na udikteta kama ule wa MBOWE na SLAA wa kupiga watu kwenye vikao kisa eti wanamuunga mkono ZITTO.

Hajasema uongo, ingekuwa ndani ya CHADEMA ungesikia mtu kafukuzwa.

Kweli kabisa dada, CCM ina wenyewe(Wengi) na siyo CHADEMA yenye Mwenyewe(mtu mmoja)

Nyani haoni kundule mkuu, CHADEMA hata mwenye uwezo tu wa kumlisha ZITTO sumu naye anakuwa na sauti ndani ya CHAMA. kichekesho kweli

Unaota ndoto ya MCHANA. LISSU,BEN SAA NANE wasikusikie na maneno mbofu mbofu kama hayo.

kama kweli wanaume hawa CHADEMA na wawe kitu kimoja na ZITTO kabla ya uchaguzi wa 2015. ZITTO na kundi lake hivi sasa wako makini sana wanasubiri 2015 walipue bomu ambalo litakwenda kuanguka HAI na KARATU na hapo itakuwa mwisho wa uhafidhina wa CDM.
Wewe Binti upo shift nini? au ndio unachochea kuni CC Ritz
 
Last edited by a moderator:
Siku za hivi karibuni nimekuwa na furaha tu.... yaani kila nikiangalia hekaheka za CCM. Nilichokipenda zaidi ni ile hali ya familia moja kwa na wasemaji kibao yaani wote wana ndevu kuanzia Baba hadi watoto.

Kila mtu ana la kusema kwenye vyombo vya habari, kila mtu ana uwezo wa kuchagua mgombea, kla mtu ana uwezo wa kumhukumu mwenzie, mara huyu ni mzigo, mara huyu ni kiroba mara huyu ametumwa....bassssi raha tupu.

Honegereni CCM. mlijisahau kidogo mkaelekeza nguvu zenu kwenye mgogoro usiowahusu!

1499636_242099289306417_229130591_n.jpg
 
Back
Top Bottom