Nimeiokota hii Facebook nimecheka sana

Nimeiokota hii Facebook nimecheka sana

katokumbi

Senior Member
Joined
May 19, 2012
Posts
195
Reaction score
78
Serikal ya Tanzania imetangaza kupunguza bei ya mchele kufikia shiling mia hamsin kwa kilo ili kuwezesha watanzania wote kula wali.hii ni baada ya kugundulika kuwa unga una madhara kutokana na kifo kilichomkuta msanii Ngwair baada ya kula unga..kauli mbiu ya leo,epuka unga,kula wali ili kulinda uhai wako
 
Toa utoto wako Mods tupa huu upuuzi kwenye dustbin.
 
ishiiiiii...............?????????
 
Ni jukwaa lake hili lakini

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Khaaaaa!!! Jaman jaman mbona hata ajazikwa jaman marehemu yaan hata nchin haja fika mnamsema hivyo khaaa!!?
 

jamani huku ni jokes hatukatai
ila kuna vya kucheka na kushadadia
kifo si kitu cha kufurahisha,tumuombee mwenzetu
na si kumgeuza kichekesho!!sidhani kama ni sahihi!!
 
Acha kufanyia mzaha kifo cha mwenzio wewe. Kwa kuwa wewe utafia guest house ukiwa uchi basi serikali itapiga marufuku watu kulala guest house? be a matured person
 
Duh ama kweli fesibuku noma,hapana okota tena takataka kule
 
Acha kufanyia mzaha kifo cha mwenzio wewe. Kwa kuwa wewe utafia guest house ukiwa uchi basi serikali itapiga marufuku watu kulala guest house? be a matured person

yaelekea hujawahi kwenda msibani wewe, coz ungewaona watani wanavyofanya mizaha kwa kifo cha marehebu wala usingetoka pofu hivyo, anyway kifo cha msanii ni usanii mwingine
 
Back
Top Bottom