Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
kweli umeingia choo cha wazee? sasa anakutakia nini wakati hakupendi si akuache uende zako?tulikuwa ni wapenzi na tulikuwa na mipango ya kuoana,hiyo ya cheti ilikuja tu ili kurahisisha mambo ya visa na nini. ila baada ya kukaa muda mwenzangu akanibadilikia akawa kitu kidogo ananigombeza ananipiga na hata kuongea na wanawake zake mbele yangu.sasa nimevumilia nimechoka ndo nimemwacha lakini yeye ndo anataka kutumia cheti.
Smile hapa nimeeleweka mpendwa?