Nimeikuta mahali: Mzee alivyozima kelele za wabaya wetu

Sio kwamba hatuoni anachokifanya huyu Daktari aisee ila tunaona kila mtu akimsifu anaweza kutetereka ndio maana wengine hata nyeusi huamua kuita nyeupe ili mradi tu wawe wamechagua upande tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu mzee nina imani sasa atakuwa ana amani huko aliko.
images%20(4).jpg
 
JE, BADO MNAWAITA MABEBERU?

THINK BEFORE YOU LEAP

Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza USD 2.4 M (Tsh. Bil. 5.6) ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, jitihada za utoaji taarifa na miradi mingine mbalimbali. #MillardAyoUPDATES

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani leo imesema fedha hizi ni nyongeza ya msaada wa USD milioni moja unaolenga kusaidia mapambano dhidi ya kirusi corona uliotolewa hivi karibuni hivyo kufanya kiasi kipya cha pesa zilizotolewa kwa Tanzania kukabiliana na corona kufikia USD milioni 3.4.

Taarifa hiyo imesema kiasi kingine cha dola za kimarekani milioni 1.9 zilibadilishwa matumizi na kuelekezwa kwenye mapambano dhidi ya corona na kufanya jumla ya pesa zilizotolewa na Marekani katika kukabiliana na corona Tanzania hadi sasa kufikia jumla ya USD milioni 5.3 (Bilioni 12 Tsh. )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tungewekwa lockdown tungekula nini ili tuishi? Mpaka sasa hakuna nchi iliyoweza kulisha watu wake kwa muda mrefu na korona katika nchi hiyo wakirudi barabarani wataikuta!!! Tusiikimbie tupaambane nayo wakati tunaendelea kujitafutia chakula. Vita za zamani ilikuwa unamzuia adui kutoka kutauta chakula hivo kujisalimisha. Je tujisalimishe kwa kirusi hiki cha corona?

Sio tuchape kazii.
 
Mataga yanavotiana moyo unafikiri ugonjwa hakuna au wamepata dawa shangilieni tu mkianza kupukutika msishangae.
 
JE, BADO MNAWAITA MABEBERU?
THINK BEFORE YOU LEAP

Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza USD 2.4 M (Tsh. Bil. 5.6) ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, jitihada za utoaji taarifa na miradi mingine mbalimbali. #MillardAyoUPDATES

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani leo imesema fedha hizi ni nyongeza ya msaada wa USD milioni moja unaolenga kusaidia mapambano dhidi ya kirusi corona uliotolewa hivi karibuni hivyo kufanya kiasi kipya cha pesa zilizotolewa kwa Tanzania kukabiliana na corona kufikia USD milioni 3.4.

Taarifa hiyo imesema kiasi kingine cha dola za kimarekani milioni 1.9 zilibadilishwa matumizi na kuelekezwa kwenye mapambano dhidi ya corona na kufanya jumla ya pesa zilizotolewa na Marekani katika kukabiliana na corona Tanzania hadi sasa kufikia jumla ya USD milioni 5.3 (Bilioni 12 Tsh. )

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao ni wadau wa maendeleo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuonekana kwa Slow Slow toka mafichoni kumeibua ari na nguvu mpya ya kusifu na kuabudu.
Pengine posho itakuwa Slow Slow kaiongeza leo.
 
JPM alisema barakoa za nje zina sumu.

Kupima madereva huku kwetu walipimwa na nini wakati maabara yetu imefungwa kwa uchunguzi usiokamilika.

Halafu hivi una habari sukari bado haipatikani uswahilini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo mwenzetu unafurahia nini wakati hili linatukuta wote waupinzani na wa ccm? Hilo toa katika hoja zako sukari inatuumiza wote mku.
 
JE, BADO MNAWAITA MABEBERU?
THINK BEFORE YOU LEAP

Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza USD 2.4 M (Tsh. Bil. 5.6) ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, jitihada za utoaji taarifa na miradi mingine mbalimbali. #MillardAyoUPDATES

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani leo imesema fedha hizi ni nyongeza ya msaada wa USD milioni moja unaolenga kusaidia mapambano dhidi ya kirusi corona uliotolewa hivi karibuni hivyo kufanya kiasi kipya cha pesa zilizotolewa kwa Tanzania kukabiliana na corona kufikia USD milioni 3.4.

Taarifa hiyo imesema kiasi kingine cha dola za kimarekani milioni 1.9 zilibadilishwa matumizi na kuelekezwa kwenye mapambano dhidi ya corona na kufanya jumla ya pesa zilizotolewa na Marekani katika kukabiliana na corona Tanzania hadi sasa kufikia jumla ya USD milioni 5.3 (Bilioni 12 Tsh. )

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa ni wahisani siyo mabeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom