Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Etiiiii....ni yupi ANAYETEMBEA TARATIBU...?KAMANDA NI YUPI HAPO? MBONA GOIGOI
Binti wa Kizaramo Bi Sikuzani aliolewa na na
Chacha, Mkuria safi wakawa wanaishi Musoma
kwa mapenzi ya hali ya juu. Siku moja
wakaamua kuja Kisarawe kuwasalimu wazazi
wa Sikuzani. Bahati mbaya Chacha akaugua
malaria kali sana na kwa siku mbili hakuweza
kula. Hatimae siku ya tatu mama mkwe aliingia
kwenye chumba cha mkwewe kumjulia hali
akamkuta kidogo ana nafuu; MAMA MKWE : Vipi
baba unadhani tukuletee nini? CHACHA:
Mukiniretea uchi wa moto nitacharibu kidogo
MAMA MKWE : (Aliondoka kwa aibu) We
Sikuzani, mumeo naona amepona anakuhitaji
upesi
Haya maneno ni ya mbongo fleva Tundaman kwenye wimbo wake unaoitwa Pesa.Ukiwa na pesa utaanzisha dini na hata ukisema wewe ni mungu kuna watu watakuamini.
nywele.Naona nywere tu...