Nimeikuta kwenye mitandao - picha inayoongea!

Nimeikuta kwenye mitandao - picha inayoongea!

Huyo Mzee wa kulia aliporomeshewa matusi na CDM kwa miaka kama nane hivi na sasa hivi anaporomoshewa matusi na CCM.

Siasa sijui ni nini?
Ila ni geneus, waliokuwa wanamuita fisadi papa kawafunga midogo, leo hata alistaafu ana uhakika wa kutozomeewa, kule kuchoka kote kipindi kile ni uzito wa mzigo aliobebeshwa na chadema, wamemsafisha wenyewe na dodoki.
 
😀😀😀😀
Binti wa Kizaramo Bi Sikuzani aliolewa na na
Chacha, Mkuria safi wakawa wanaishi Musoma
kwa mapenzi ya hali ya juu. Siku moja
wakaamua kuja Kisarawe kuwasalimu wazazi
wa Sikuzani. Bahati mbaya Chacha akaugua
malaria kali sana na kwa siku mbili hakuweza
kula. Hatimae siku ya tatu mama mkwe aliingia
kwenye chumba cha mkwewe kumjulia hali
akamkuta kidogo ana nafuu; MAMA MKWE : Vipi
baba unadhani tukuletee nini? CHACHA:
Mukiniretea uchi wa moto nitacharibu kidogo
MAMA MKWE : (Aliondoka kwa aibu) We
Sikuzani, mumeo naona amepona anakuhitaji
upesi
aisee
 
huyu hawezi kuwa rais. tuseme tu ukweli, tumwachie tu Mungu pengine nitakuwa nimeangalia kwa macho ya kibinadamu.
 
tapatalk_1499223399243.jpeg
 
Enzi hizo hata kumkaribisha Lowassa kwny Harambee ilikuwa lazima akuhonge ili apate fursa ya kuja ku kuchangia
 
Hivi wale vijana walikua wanafanya usafi mahospitalin wako wapi?
 
Back
Top Bottom