Ukiisikiliza clouds FM katika kipindi chao cha Power breakfast na Jahazi utawasikia wakitumia muda mwingi kuipigia debe budget ya serikali iliyowakilishwa na kuwaponda wabunge wanaoipinga. Hivi Jerald na Kibonde mnashindwa kujua wabunge wenye uchungu wanakerwa kwa sababu wameyasema haya kila mwaka na serikali ya magamba haitaki kusikia. Jerald anasema Mnyika anatafuta sifa ya kutangazwa na vyombo vya habari, clouds badilikeni vinginevyo watu watawachoka ijapokuwa kwa sasa ni redio inayosikika na watu wengi watu watawachoka na mtajuta kuwa wanafiki.