Nimeibuka Mshindi wa Kwanza kwa Wafugaji Nyuki

Nimeibuka Mshindi wa Kwanza kwa Wafugaji Nyuki

Fred Katulanda

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
394
Reaction score
627
1773.jpg

Ninamshukuru Mungu kwa kuibuka Mshindi wa Kwanza wa Wazalishaji na Wasindikaji Mazao ya Nyuki kwenye Maonesho ya Nanenane 2025 Kanda ya Ziwa Magharibi yaliyofanyika Nyamhongolo, Mwanza. Hakika kwangu ni hatua muhimu.

1347.jpg


1763.jpg

Hapa nikizungumza na Mkuu wa Wilaya Nyamagana ambaye alitembelea Nanenane nikitoa elimu ya uvunaji sumu ya nyuki
 
View attachment 3437383
Ninamshukuru Mungu kwa kuibuka Mshindi wa Kwanza wa Wazalishaji na Wasindikaji Mazao ya Nyuki kwenye Maonesho ya Nanenane 2025 Kanda ya Ziwa Magharibi yaliyofanyika Nyamhongolo, Mwanza. Hakika kwangu ni hatua muhimu.

View attachment 3437385

View attachment 3437387
Hapa nikizungumza na Mkuu wa Wilaya Nyamagana ambaye alitembelea Nanenane nikitoa elimu ya uvunaji sumu ya nyuki
Hongera sana mkuu. Unaweza pia kutuelezea faida ya sumu ya nyuki?
 
Back
Top Bottom