masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,385
- 19,309
Subiri wataalamu waje watoe uzoefuNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Naumia moyo hapaInasikitisha sana
Mwnyw hapa Nimelia sana 😭Naumia moyo hapa
Hata kula sijala leoPole ila simu laki sita kwa sisi matariji wa humo jf ni upumbavu tu
Kwa polis?Risk on what you can afford to lose.
DahAccept and move on
Pole nenda kaleHata kula sijala leo
AnywhereKwa polis?
Huu ni ushauri mzuri sana kwenye uzi huuUtapoteza simu pamoja na hela zaidi ya thamani ya simu iliyoibiwa.
Simu ikiibiwa unatakiwa usali novena na kumuachia Mungu.
Mimi niliibiwa visigino vyangu lakini sikulalamika popote, nadunda tu.
Cc: secretarybird
Polisi ya tz ni wapumbavu ilo ni jukumu lao kutrack wahalifu bure wakimkamata huyo muhalifu ndiyo abanwe siyo wewe uliye ibiwa uwalipe wapumbavu wakutrakie mwizi ...kazi ya polisi ni gani sasa? Tena ndiyo maana kuna tabia kuwa polisi wakimtrack mwizi na kumpata wanamalizana naye juu kwa juu na pesa yako inakuwa imeliwa ...wanachukua kwa muhalifu na wanachukua kwako.na simu upatiwi wanakuambia atujampata .Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police