Dodo86
Member
- Oct 23, 2018
- 91
- 64
Nimeibiwa simu yangu kwenye begi aina ya iPhone 7 tangia juzi na kila nikiipiga haipatikani na nimejaribu kwenda polisi naona siwalewi.. Nimeweka iCloud yangu kwenye simu ya Dada yangu kutumia Find My IPhone Naona inaonesha iko offline.
Kwa wenye uzoefu wa hizi simu ni njia gani nitumie nyingine kupata simu yangu? Nimeibiwa Morogoro.. Naomba msaada wenu wana Jamii wenzangu.
Kwa wenye uzoefu wa hizi simu ni njia gani nitumie nyingine kupata simu yangu? Nimeibiwa Morogoro.. Naomba msaada wenu wana Jamii wenzangu.