Salaam wadau wanasheria,
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi
Naomba msaada nifanye nini.
Niliibiwa leaf ya bank. Kwa bahati yangu mwizi hakujua signature yangu vizuri aka forge vibaya vibaya lakini akaweka signature ya pili kana kwamba tunaitumia akaunti hiyo watu 2.
Akaipeleka kwenye benki yake na kui deposit huko nao wakaileta kwenye benki yangu.
Nasema benki ndio wameiba kwa sababu kwanza pesa iliyokuwamo kwenye akaunti yangu ilikuwa ni kidogo kuliko pesa aliyojiandikia. Pili sahihi zilizotumika zote si za kwangu. Lakini Benki wakatoa pesa zangu zote na ziada na akaunti yangu ikabaki na debit(ikidaiwa). Nimewapelekea malalamiko yango lakini wananiambia ni mpaka uchunguzi ufanyike nitapata jibu baada ya mwezi. Je kuna mtu anayejua sheria inasemaje kwa suala kama hili?
Asanteni.
Katabazi