makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,509
Upige shavu la kulia, nikupe shavu la kushoto mie ni yesu!!?Ukilipa uovu kwa uovu,nini tofauti yenu?
Onyesha mapenzi kwa mhalifu ili ajifunze kutoka kwako.
Toa wembe nitoe kisu
Upige shavu la kulia, nikupe shavu la kushoto mie ni yesu!!?Ukilipa uovu kwa uovu,nini tofauti yenu?
Onyesha mapenzi kwa mhalifu ili ajifunze kutoka kwako.
Uliwahi kuibiwa?Ukilipa uovu kwa uovu,nini tofauti yenu?
Onyesha mapenzi kwa mhalifu ili ajifunze kutoka kwako.
Mwaka mmoja au zaidi uliopita niliibiwa led tv,dvd player,laptop mbili, vikorokoro kibao vya thamani jumla 8+m. Bahati nzuri nilikuwa nimepanga 'serviced apartment' landlord alilipa full amount na apology kwa tukio. Basically ilikuwa mchongo wa walinzi kwasababu waliiba wakati nimesafiri na ulinzi ni 24/7. Ila ilichukua muda na ilibidi ninunnue vingine baadae ndio nikalipwa hio hela.mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power window
hasara ya karibia million saba sasa si ndio kutudishana nyuma ,ukisikia mwizi anapigwa mahala popote mimi nitafadhili petrol ya kumchoma
Tuambie umeibiwaje ili tujifunze. Halafu nawashauri mlipe household insurance kwa ajili ya vitu kama hivyo, tena umenikumbusha nikalipie maanake kuibiwa kunarudisha nyuma sana.Habari zenu wakuu,
Wezi wote walaaniwe.
Nimeeibiwa LED TV leo wadau, kuna jinsi ya kuifunga?
Natanguliza shukrani.
hahahah kama wa Mshana Jr ??Ahahahaahahhah yaani huu ushauri![]()
Mkuu wewe ofisn kwako hujawahi kupiga deal?mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power window
hasara ya karibia million saba sasa si ndio kutudishana nyuma ,ukisikia mwizi anapigwa mahala popote mimi nitafadhili petrol ya kumchoma
Jombaa nisamehe na ni nchi 40 ina siku tatu tu toka dukani na usawa huu wa jpmHa samehe
Uzembe wangu n nn?wewe ni Mzembe
Hujaibiwa wewe naonaUkilipa uovu kwa uovu,nini tofauti yenu?
Onyesha mapenzi kwa mhalifu ili ajifunze kutoka kwako.
Nyumba ninayoishi n kubwa so nyt wakatumia hiyo chance kwamba bedroom had seating room kuna umbali so usiku wamekata nondo na mm nmelala coz nilichelewa kulala hivyo kwa muda hule nilikua nmelala fofofo wakaingia wakaiba TV na remote yakeTuambie umeibiwaje ili tujifunze. Halafu nawashauri mlipe household insurance kwa ajili ya vitu kama hivyo, tena umenikumbusha nikalipie maanake kuibiwa kunarudisha nyuma sana.
Hivi suluhisho ya huu wizi wa kukata nondo ni nini?Nyumba ninayoishi n kubwa so nyt wakatumia hiyo chance kwamba bedroom had seating room kuna umbali so usiku wamekata nondo na mm nmelala coz nilichelewa kulala hivyo kwa muda hule nilikua nmelala fofofo wakaingia wakaiba TV na remote yake
Hah hah hahlabda uwaite prison ndio wana tabia za kufunga vitu hadi wanyama
nawalaani vibaka wote
Kufunga electric fence, kufuga mbwa wakali na kuwafungulia usiku, kufunga alarm systems.Hivi suluhisho ya huu wizi wa kukata nondo ni nini?
MKUU NAOMBA UTUPE DARASA LA NAMNA YA KUWEKA PASSWORD KWENYE LET TV.Kama uliweka password itawapa tabu kuwasha labda kama haukufanya hivyo