Nimeibiwa LED TV, naweza kuifunga isitumike?

Nimeibiwa LED TV, naweza kuifunga isitumike?

Si ilikuwa bado ina gerentii ya mwaka mzima, nenda kawadai
 
Hawa wezi kwa kweli ni wa kuchomwa moto kabisa. Mimi juzi pia wameingia kwangu kwa kuruka ukuta. Wameiba TV "49, Music system, Laptop, Tablet and Microwave.
Hawatafanyia kitu, na siku zao zinahesabika. Tatizo police wanawalea haiwezekani nchi kuwa na wezi kiasi hicho. Kungekuwa na hatua madhubuti wakikamatwa wangeshaacha. Nadhani waliobudi mtindo wa kuwachoma moto, wachomwe tu hakuna jinsi
 
mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power window
hasara ya karibia million saba sasa si ndio kutudishana nyuma ,ukisikia mwizi anapigwa mahala popote mimi nitafadhili petrol ya kumchoma
Ndio..NAKAZIA HAPA
 
kwa hasira kanunue advanced model ya hiyo LED uwakomoe.😵😵😵😵
 
Alafu ukimpiga uyo mwizi ukamtoboa macho unaambiwa we mkatili
 
Back
Top Bottom