Nimeibiwa LED TV, naweza kuifunga isitumike?

Nimeibiwa LED TV, naweza kuifunga isitumike?

mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power window
hasara ya karibia million saba sasa si ndio kutudishana nyuma ,ukisikia mwizi anapigwa mahala popote mimi nitafadhili petrol ya kumchoma

Ukilipa uovu kwa uovu,nini tofauti yenu?
Onyesha mapenzi kwa mhalifu ili ajifunze kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom