Pole mkuu.Nimeeibiwa LED TV Leo wadau kuna jinsi ya kuifunga?
Tena waibeKanunue nyingine
Hiyo nyingine hawataiba kosa kurudia kosaTena waibe
hapo kwenye red,hivi nini tofauti ya mwizi na kibaka? Mleta mada anataka mwizi ndio alaaniwe,wewe unawalani vibaka?! Naomba kufahamishwa hili.nawalaani vibaka wote
nawalaani vibaka wote
Pole sana mkuu, jaribu kwenda uliponunua wanaweza kukusaidia







mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power windowKulaani ni kazi ya Mungu.
Mwombee abadilike na kuwa mtu mwema.
mkuu mwezi wa nne mwaka huu waliniibia tv,simu,laptop za ofisi,taa za gari,power window
hasara ya karibia million saba sasa si ndio kutudishana nyuma ,ukisikia mwizi anapigwa mahala popote mimi nitafadhili petrol ya kumchoma