Nimeiba chupi ya mke wangu

Nimeiba chupi ya mke wangu

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi yake.Naombeni ushauri manake imekua kesi
 
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi take niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi

umechanganya jukwaa boss na huyo mke wako anaonekani ni changu tu.
 
Back
Top Bottom