benjamini org
Member
- Nov 1, 2016
- 41
- 6
Naombeni Msaada wakuu nina maswali mawili naombeni aliye na uelewa anisaidie
1. Kama nimehitimu mwaka huu Nursing certificate nahitaji kuendelea kusoma mwaka kesho diploma jee inakubalikaa??? Au hadi ufanye kazi serikalini kwanza.
2. Kama nimehitimu nursing certificate mwaka huu nahitaji kubadili course nisome Clinical officer mwaka kesho ninaruhusiwa ku change au inakuwaaje???
Naombeni majibu wapendwa....
1. Kama nimehitimu mwaka huu Nursing certificate nahitaji kuendelea kusoma mwaka kesho diploma jee inakubalikaa??? Au hadi ufanye kazi serikalini kwanza.
2. Kama nimehitimu nursing certificate mwaka huu nahitaji kubadili course nisome Clinical officer mwaka kesho ninaruhusiwa ku change au inakuwaaje???
Naombeni majibu wapendwa....