kwa akili zako ulikuwa humfahamu mkeo baba??????????????anghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Jamani hebu tulitumie hili jukwaa kwa manufaa ya wanachama. Mtu mpaka anapost hapa, ujue ni tatizo na kweli yupo desperate anahitaji ushauri. Sasa mtu unapomjibu namna hii, husaidii sanasana unamuongezea frustrations tu. Kumbuka ndugu yangu, usimcheke mwenzako anapopata tatizo, matatizo haya wameumbiwa watu iko siku utajikuta nawewe katika situation za namna hii. Take care Madam/sir.
freetown yaewezekana anatudanganya eeehhhh mmh kama ni uongo atakkuwa mwanafunzi wa mlimani huyu anafanya research ya ndoa aka submit kwa dk
Mwenziyo anaomba msaada wewe unamwambia amlaum mkewe au aujaoa??kulaumu aisaidii nikumpa ushauri jinsi yakumali hili tatizo,Anyway Mimi nakushauri kaa namkeo myaongee muyaweke sawa ndoa nikuvumiliana! Hivyo msamehe leeni watoto wenu hakuna wakulea kama mama!Nazaidi mwambie huyo jamaa yako kwamba kitendo ulichokifanya sikizuri mwonyeshe kwamba kimekukera the maximum namwambie mimi nimekusamehe ila nimevunja ujamaa na wewe!Ila nakuonya achana na mke wangu basi.Wao wote watakuwa wametia akili.Mlaumu mkeo ndugu yangu angekuwa anakupenda ni kwa dhiki na Faraja. Hakufai huyo
well saidNdio kusema mtu andelee kuishi na Malaya eti sababu ndoa ya kanisani. Potelea mbali tutajuana huko huko makaburini
hapo badili dini. Ingia katika dini inayofuata sheria alizoleta Mungu na si dini ya sheria zilizotungwa na watu. otherwise hapo huna cha kufanya mpaka ima afe au ufe wewe ndio biashara zingine zitaendelea. vinginevyo ukioa na bado umeshikilia sheria za watu