PRINTABLUE
Member
- Jul 15, 2012
- 79
- 9
wewe nduka origino: Huna tofauti na political prostitutes wenzako kama mrema, kabourou, nk. Uamuzi uliufanya mwenyewe. Sasa unataka ushauri wenzako wakufuate ama wafanye nini? Baki huko huko. By the way ulikuwa na impact yeyote kwenye cdm? Kwanini unatujulisha? Mbona kuna wengi wameondoka wenye impact lakini cdm ipo? Haya si umeshahama, sasa kimbilia pale lumumba wakakupe mkate wako wa kila siku ambao ulikuwa unaumisi. Tukupatie namba za wenzio ili muwasiliane nao? Mtafute ze marcopolo, ritz, molemo, mbofu, m 23 na naona pasco naye anakaribia huko. Njoo dodoma ukishindwa kwenda lumumba ili upewe japo za kupitishia siku maana wapo hapa wote hata wale wazee wa meno ya tembo. Kama vipi njoo hapa mwanga bar jioni nikupe japo mbili tatu kama umeishiwa sananilianzia siasa chadema, ccm sitoki tena. Karibu na wewe kaka