feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,524
- 17,182
Mchome sio shabiki wa Simba shtukaBinafsi sijaacha kuishabikia simba ila naungana na Mchome, jamaa anaongea ukweli lakini mashabiki wanang'ang'ana huyu katumwa na yanga
Mchome sio shabiki wa Simba shtukaBinafsi sijaacha kuishabikia simba ila naungana na Mchome, jamaa anaongea ukweli lakini mashabiki wanang'ang'ana huyu katumwa na yanga
Ya Eng. HersiMavi
whatever, ila jamaa anayoyasema unahisi ni uzushiMchome sio shabiki wa Simba shtuka
Em kwenda huko.Wajinga na masikini kama wewe ni mtaji wa mo dewij
ungesubirisubiri mpk yanga wachukue ubingwa wa 8 mfululizo hiviNikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.
Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu
Kwa kweli wewe ndio mbumbumbu hatuna shabiki wa simba wa aina hii ,tunawafungulia Milango mbumbumbu kama ninyi ,nikupongeze kwa kukifahamu hiloNimegoma kuwa mbumbumbu
100%Mimi nijuavyo shabiki wa timu ya mpira wa miguu hahami timu, ila kwa mchezaji ni sawa.
Safi sana..Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.
Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu
Mjinga mmoja unaetujazia nzi ,hatutaki kukuona maana hakuna unachochangia kwenye timu alafu mtaani malalamiko kibao .....kale mihogoWajinga na masikini kama wewe ndio mtaji wa MO
Kadi yako namba ngapi?Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.
Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu