Nimehama Simba rasmi

Nimehama Simba rasmi

Mimi nijuavyo shabiki wa timu ya mpira wa miguu hahami timu, ila kwa mchezaji ni sawa.
Ushasema wewe ujuavyo na Mimi nijuavyo hua wanahama sababu timu sio mama
 
Nitaendelea kushabikia Simba Sc mpaka pale tutakapobeba kombe la Club World Cup.
 
Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.

Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu
ungesubirisubiri mpk yanga wachukue ubingwa wa 8 mfululizo hivi
 
Kwa kweli wewe ndio mbumbumbu hatuna shabiki wa simba wa aina hii ,tunawafungulia Milango mbumbumbu kama ninyi ,nikupongeze kwa kukifahamu hilo
Wajinga na masikini kama wewe ndio mtaji wa MO
 
Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.

Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu
Safi sana..
 
Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.

Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda huu
Kadi yako namba ngapi?
 
Back
Top Bottom