Nimehama Simba rasmi

Nimehama Simba rasmi

Utahama timu ngapi mkuu? Maana Kila timu duniani zinapitiaga vipindi vigumu na vya mpito
 
Hongera kwa uamuzi mzuri wenye busara.. Timu sio kabila kwamba watu awahami..
 
Nikiwa na akili zangu timamu natangaza kuihama hii timu isiyojielewa naepuka kuwa mjinga Kwa kuishabikia hii timu wakati wenzetu Yanga wanatambulisha vifaa vya kazi sisi tunahesabu hasara za msimu uliopita nimegundua timu yetu imejaza mashabiki mbumbumbu waliogeuka kuwa.

Chawa wa viongozi na kingine kilichoniuma ni kuchezea vichapo mfululizo kutoka Kwa yanga kupelekea matatizo ya ki afya kutokana na ushabiki wa hii timu Sasa hivi nimeacha kuishabikia nimeamia kufocus na kujiongezea kipato nimebakia kushabikia timu mbili tu Liverpool FC na FC Barcelona nimekataa kuwa mjinga nimemaliza kuchoma jezi zote 8 za simba mda
VIONGOZI wa Simba hawajali feelings za Fans wao.
 
Siwezi kuhama ila nitaacha kufuatilia mpaka irudi kwenye top,kwa sasa nimejiandaa kisaikolojia kwamba ni mbovu kwahiyo hata ikifungwa maumivu ni kidogo ,vinginevyo mtu unaweza kufa kwa presha bure
 
Kupanga ni kuchagua, karibu sana kwenye timu ya wananchi huko utakufa kwa stress
 
Back
Top Bottom